keeping you up-to-date
Chadema in kiboko ya CCM


Katika hali isiyo ya kawaida mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge jimbo la Arumeru Mashariki kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi ( CCM ) Sioi Sumari ulitawaliwa na maneno ya matusi na vijembe dhidi ya viongozi wa CHADEMA.

Hali hiyo ilijitokeza jana wakati mgombea wa CCM , Sioi Sumari, alipokuwa akihutubia jukwaani aliporwa kipaza sauti na Meneja wa Kampeni hizo, Mwigulu Mchemba, ambaye alianza kumshambulia Katibu Mkuu wa CHADEMA , Dk. Willibrod Slaa kwa matusi akimwita kichaa.

Hatua hiyo ilitokana na kitendo cha helikopta ya CHADEMA kupita juu kwa mbali na ulipokuwa ukifanyika mkutano wa CCM, na kusababisha wananchi wengi waliokuwa kwenye mkutano huo kushangilia kwa kutumia salamu ya CHADEMA ya “Peoples Power” huku wakionyesha vidole viwili juu.

Hata hivyo ilibainika baadaye kuwa waliokuwa ndani ya ndege hiyo ni.

Posted by admin at Mar 27, 2012 2:09 PM Category: Tanzania
Tags:

Breaking news: Oil discovered in Kenya

According to a company statement, Tullow discovered in excess of 20 metres net oil pay at the Ngamia-1 exploration well in Turkana county, situated in north-west Kenya.

“This is an excellent start to our major exploration campaign in the east Africa rift basins of Kenya and Ethiopia,” commented Tullow’s exploration director Angus McCoss. “To make a good oil discovery in our first well is beyond our expectations and bodes well for the material programme ahead of us. Tullow is working closely with the government and people of Kenya as a committed long-term partner to unlock the oil potential of the region. We look forward to further success as seismic and drilling.

Posted by admin at Mar 26, 2012 1:43 PM Category: Tanzania
Tags: kenya, uganda, tanzania, oil, top

From China to Africa

1. China will this year become Africa’s largest export destination. China’s share of Africa’s total exports has increased from 10% in 2008, to almost 18% in 2011. On the other hand, Africa’s exports to the US have fallen from 21% in 2008, to slightly more than 18% in 2011. Similarly, African exports to the EU have also ped from 39% in 2008, to 34% last year.

2. Chinese companies are establishing local operations in Africa in order to export commodities back to China. For example, in the case of timber exports from Liberia, which has seen an increase in 2011, Ningbo Timber and Shenzhen Mei Tin Industrial have set up trading companies in Liberia, acting as important trade channels.

3. Mainly oil and other raw materials. African exports to China are primarily raw.

Posted by admin at Mar 26, 2012 1:32 PM Category: Tanzania
Tags: china, africa, top

CCM Mageuzi

MAGEUZI yalipoanza na hatimaye mfumo wa vyama vingi kuruhusiwa rasmi nchini mwaka 1992, watu waliotamani kuwa viongozi lakini wakawa wanakosa nafasi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) walijiunga na vyama vya upinzani.

Kundi la watu wengine waliojiunga haraka na vyama vya upinzani ni wale waliotamani kuiondoa madarakani serikali ya CCM.

Vyama vya upinzani – NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi (CUF) vilivyokuwa na nguvu wakati ule, na hata United Democratic Party (UDP), Union for Multiparty Democracy (UMD) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vilivuna wanachama wengi kwa mtindo huo.

Waliokata tamaa ndani ya CCM au waliofukuzwa kwa tuhuma mbalimbali walikimbilia upinzani, si kutokana na mapenzi yao ila kwamba wamepata fursa mbadala ya kupambana, kuikomoa na kuiondoa CCM. Mtindo huu unatumika hadi sasa.

Hapo, vibaraka na mapandikizi ya CCM wakawemo. Kwa hiyo, mshikamano wa.

Posted by admin at Mar 25, 2012 3:57 PM Category: Tanzania
Tags: top

Chadama Ni Hatari

Siasa za kushutumiana, kupakana matope zimeendelea kutawala kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki, mkoani Arusha na safari hii, wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Kata ya Akeri, wakiwalalamikia walimu wa shule za msingi na sekondari kwamba wamekigeuka chama hicho na kushabikia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuwafundisha wanafunzi wao kutumia msemo unaotumiwa na Chadema wa 'people’s power'

Kadhalika, wazee hao wamelaani wafuasi wa Chadema, kwa kupiga yowe kwenye mikutano ya kampeni na kila wanapoona wafuasi wa CCM waliovalia sare za chama.

Posted by admin at Mar 25, 2012 3:25 PM Category: Tanzania
Tags: top

HomeOlder Posts »